info@fabstech.com +255 672 871 611

BYH programu

Ni programu inayotoa ushauri wa mlo lishe kwa watu wanaoishi na virusi vya ukimwi(HIV).
Mhusika anaweza kuingiza aina ya chakula anachokula ndani ya siku na kupata ushauri juu ya mpangilio wa mlo wa chakula.

Maelezo ya kupakua programu ya BYH

Chukua simu yako ingia kwenye Playstore

Kisha andika Better your health

Pakua programu yako katika simu kisha jisajili

Ingiza username na passwords,programu yako tayari kwa matumizi

-->

Maswali yanayoulizwa Mara kwa Mara

PEPFAR

Fabstech

Tanzania Food and Nutrition Centre(TFNC)

Tanzania Medicines and Medical Device Authority(TMDA)

DlabsTanzania